Nyumba ya ghorofa inauzwa
ipo mbezi mwisho
umbali wa km 2 kutoka morogoro road
bei tsh milion 300 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 900
umiliki: hati ya mauziano ya serikali ya mtaa ila pameshapimwa tayari( hati ipo kwenye process za mwisho)
vyumba 4 vya kulala
vyumba vitatu master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
maji yapo
umeme upo
pia kuna servant kota kwa nyuma ya chumba na sebule
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=