Nyumba nzuri sana inauzwa bunju "b" ( dar es salam)
ina vyumba vinne (4) kati ya ivyo viwil ni self contained,dinning,sitting,kitchen&public toilet
pia kuna servant quarter ya chumba kimoja self contained & sitting room yake
umiliki: hati miliki (title deed)
ukubwa wa eneo: sqm 1,200
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
nyumba iko mtaa mzuri umejengeka vizuri
bei : 200 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 20,000/=