*NYUMBA INAUZWA – TEGETA WAZO (HAIJAKAMILIKA)*
*BEI: TSh 65 milioni*
*Maelezo ya Nyumba:*
- Vyumba 3 (vyote ni self-contained)
- Sebule & Dining
- Jiko
- Store
- Cho cha nje (Public toilet)
*Ukubwa wa Kiwanja:* 1200 sqm
*Mahali:* Tegeta Wazo, Dar es Salaam, Tanzania
*Note:*
- Viewing fee: TSh 50,000
- Commission ya agent inatumika
*Fursa nzuri kwa anayependa kujenga hadi kukamilisha kwa ladha yake binafsi.*