Nyumba inauzwa
mkoa -dar-es-salaam-tz
wilaya - ilala
mahali - tabata kinyerezi kwa makofia
________
nyumba inauzwa kama ilivyo
—
bei - mil 90
maongezi yap0
ukubwa kiwanja - sqm 623
umiliki - sales agreements (serikali za mtaa)
________
sifa za nyumba
— -
vyumba vitatu 3 vikubwa vya kulala
sebule kubwa
1 master bedroom
dinning room
jiko kubwa
choo public
parking ya kutosha
peving block
maji dawasco
ina frem ya biashara