*Muhtasari wa Nyumba Inayouzwa – Kinyerezi, Dar es Salaam*
- *Bei:* Tsh 400 milioni
- *Eneo:* Kinyerezi, Dar es Salaam
- *Ukubwa wa kiwanja:* 500 sqm
- *Hati:* Ina hati miliki kamili (title deed)
*Maelezo ya Nyumba:*
- Vyumba 3 (vyote ni master)
- Sebule & chumba cha kulia chakula
- Jiko & stoo
- Laundry
- Public toilet
- Servant quarter
*Huduma:*
- LUKU ya meter
- Maji safi saa 24
- Uzio wa umeme (electric fence)
- Parking kubwa
*Maelezo ya Ziada:*
- Nyumba ipo hatua za mwisho za ujenzi
- Utakabidhiwa nyumba ikikamilika 100%
*Gharama Zingine:*
- Gharama ya kwenda kuangalia: Tsh 50,000
- Malipo ya udalali yanahusika .