Hii nyumba ipo kigambani toangoma la dar es Salam wilaya ya kigambani
Nyumba hii ina uzwa bei rais Sana tsh mil (140) tu
Hii nyumba ina eneo kubwa square meter (600) ina hattie miliki
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina sitting room na daining room ina jiko na public toilet ina store na maji
Na uwani kuna kigolofa kikali Sana
Kina vyumba viwili na sebule na choo
Hii nyumba ina Ac full ina kisima cha maji
Pia ame sambaza maji kwa majilani
Hii nyumba ipo kalibu sana na bar bar kuu ya rami. Ni nyumba ya tatu tu kutoka rami