Nyumba inauzwa madale kwa kawawa
plot size: sqm 800
bei: tsh milioni 150
umiliki: hati
insta:
sifa
-vyumba vitatu vya kulala
-vyumba vyote ni master
-sebule
-dinning
-jiko na store
-choo cha public
-garden
-fenced
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 50. hii haihusishi usafiri