Nyumba nzuri ya kisasa Inauzwa na BANK milioni 170 maongezi yapo Ipo Mbezi mwisho Msigani - Dar es salaam - Tanzania
Vyumba Vinne vya Kulala kati ya hivyo Vyumba viwili ni self contenad
Master Bedroom
Sitting room
Dining room
◇ Kitchen
◇Store
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1319
◇document clean TITLE DEED (Hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
◇Maji safi dawasco umeme vyote vipo Umbali mita 500 tu kutoka barabara kuu ya lami ya kinyerezi road