Nyumba inauzwa
ipo mbezi mwisho makabe
bei tsh milion 160 mazungumzo yapo sana
ukubwa wa eneo sqm 950
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba vitatu vya kulala
kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
maji yapo dawasa
umeme upo
fenced and gate
pia kuna servant quarter ya vyumba viwili vya kulala
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 50,000/=