Nyumba yenye eneo kubwa sana inauzwa mbezi mwisho (ubungo municipality).
ina vyumba vitatu kimoja master, dinning, sitting, kitchen&public toilet
pia kuna servant quarter ina apartment tatu mbil chumba kimoja na sebule pia kuna chumba single kimoja na choo cha nje
umiliki : hati miliki (title deed)
ukubwa wa eneo: sqm 1590
umbali: meter 100 kutoka barabara kuu ya lami
nyumba iko mtaa mzuri ukiwa kwenye nyumba unaona kituo cha mabasi makubwa magufuli bus terminal
eneo ni zuri sana kwa uwekezaji wa apartment, lodge & hotel
maji ya dawasco na umeme vyote vipo