Nyumba inauzwa
ipo mbezi msakuzi kusini- machimbo, njia ya mpiji magoe
bei tsh milioni 65 mazungumzo yapo kiasi
ukubwa wa eneo sqm 700
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
pia kuna fremu moja ya duka
pia kuna mabanda ya kufugia kuku hata kuku 3000 inatosha
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 50,000/=