Nyumba inauzwa
ipo mbezi msakuzi
bei tsh milion 140 maongezi yapo sanaa
umiliki: hati miliki toka wizara ya ardhi
ukubwa wa eneo sqm 500
ina vyumba vitatu vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
store
maji yapo
umeme upo
fenced and gate
pia ina fremu mbili za biashara
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 20000/=
piga simu kwa maelezo zaidi