Nyumba inauzwa
mahali: mbezi msakuzi
bei tsh milion 170 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 1200
umiliki: hati miliki ya miaka 99
vyumba vitatu vya kulala
kimoja master makabati
sebule kubwa
dinning area
jiko zuri la makabati
store yenye shelf
choo cha familia
electric fence
full garden
car parking kubwa
system solar panel16
system water dringing
full heater
fenced and gate