Nyumba inauzwa
ipo mbezi mwisho msakuzi kusini
bei tsh milioni 75 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 400
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
maji yapo
umeme upo
fenced
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=