Nyumba inauzwa mbezi_maramba mwisho.
bei tsh45 milion.
kutoka barabaran ya rami kilomita 1 tu
nyumba ina;
+vyumba vitatu
+chumba kimoja master
+jiko zuli
+tiles&gypsum
+umeme na maji.
+imezungushiwa fence tayari
+ pia njia inafikika mpaka site.
document:sales agreement ya mwanasheria na serikali ya mtaa.
ukubwa: meter 20 kwa 20meter sawa na squaremeter 400. tu.