Nyumba nzuri sana inauzwa mbezi maramba barabara iendayo kinyelez dakika 2 kutoka rami
ina vyumba vitatu kimoja master, sitting& public toilet
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
ukubwa wa eneo: sqm 400
bei : 60 million maongezi yapo
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=
hi sio yakukosa tajiri nyumba ipo karibu sana nabarabara yarami
ukishuka kwenye bajaji
unatembea dakika 2 umefika kwenyenyumba
bei milioni 60 maongezi yapo karibu