Nyumba nzuri Inauzwa milioni 55 maongezi kidogo yapo Ipo MBEZI KWA MSUGULI - Dar es salaam - Tanzania
Vyumba Vitatu vya Kulala
Master Bedroom
Sitting room
Dining room
◇ Kitchen
Public toilet
Ukubwa wa kiwanja: sqmt 400
◇document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
Kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua
◇ Maji safi umeme vyote vipo kwenye nyumba
◇Nyumba ipo kwenye bara kuu ya mtaa