Nyumba inauzwa
ipo mbezi kibanda cha mkaa
umbali kutoka morogoro road ni km 1.5 tu
bei tsh milioni 5o
ukubwa wa eneo sqm 400
umiliki:hati ya mauziano ya serikali za mitaa.
ina vyumba vinne vya kulala,kimoja master,jiko,public toilet,dinning.
pia kuna servant quarter ya chumba kimoja na public toilet
ya chumbakimoja na public toilet.