Inauzwa ipo mbezi mwisho barabara ya konoike
nyumba ipo umbali kutoka stendi ya magufuli kilometa 2.5 pikipiki 1000/=✓
sfa za nyumba
vyumba vitatu vya kulala
kimoja master
sebule na
choo cha public
haina jiko
ukubwa wa eneo mita 15 kwa 15
documenti za mauziano serikali ya mtaa
bei ni ml 35
nyumba ni mpyaa kabisa ni ya kuingia tuu
service charge ni tzs 20,000