Nyumba mbili tofauti zinauzwa mbezi malamba mawili
unaweza kununua kwazote mbili bei yake ni tsh milion 70 maongezi yapo
au unaweza kununua nyumba moja tu bei yake tsh milion 35 maongezi yapo
kila nyumba ina vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
plasta tayari
bandalingi tayari
nb: unaweza kununua kwa zote au unanunua nyumba moja mana kila nyumba inajitegemea kiwanja chake , ila tu zimekaribiana karibu karibu na zote za mtu mmoja
kila nyumba ina ukubwa wa eneo sqm 400