Nyumba inauzwa
ipo madale mwisho
bei tsh milion 70 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa , ila kiwanja kimeshapimwa
vyumba 3 vya kulala
vyumba vyote master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=