Nyumba nzuri sana bado mpya kabisa inauzwa
ipo madale mivumoni centre
bei tsh milion 130 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 450
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
full ac
full fenced and gate
gharama za kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=