Nyumba inauzwa
ipo mbezi luguluni-kwembe
bei tsh milioni 55 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 600
umiliki;mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
kimoja master
sitting room
kitchen
public toilet
umeme upo
maji yapo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=