Nyumba inauzwa
ipo kimara temboni
bei tsh milioni 80 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
pia kuna servant quarter ya chumba ,sebule, jiko na choo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=