Bei: TZS 250,000,000 ( maongezi kidogo)
Location: Kimara Temboni
Umbali wa dakika 7 tu kwa miguu kutoka Morogoro Road
Ipo kwenye eneo zuri, salama na lenye maendeleo
Sifa za Nyumba:
Vyumba 3 vya kulala
Kimoja Master Bedroom (self-contained)
Sebule kubwa na yenye mwanga wa kutosha
Jiko la kisasa
Dining area
Public toilet
Ipo ndani ya fensi
Kiwanja kimepangwa vizuri kwa paving blocks
Documents:
Ina Hati safi ya Wizara (Clean Title Deed)
Full documents zinapatikana tayari kwa uhakiki
Gharama nyingine: