#nyumba_inauzwa_kimara_temboni
kimara temboni
.
.
.
bei sh milion 80 #maongezi_yapo_kidogo
.
.
.
vyumba vitatu kimoja master sebule dinning jiko public
-na kuna vyumba vitatu vya kupangisha vipo kwa nje.
.
.
.
-ukubwa wa kiwanja sqmt 900
.
.
.
nyumba ipo umbali wa kilometer 2 kwa gari bajaji mia saba ukishuka dakika moja upo kwenye nyumba.
.
.
.
nyumba ina hati safi
.
.
.