Nyumba inauzwa na bank
location: kimara stop over (dar es salam)
ipo umbali wa mita 300 kutoka morogoro road
bei tsh milion 75 (makadilio)
ukubwa wa eneo sqm 600
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa(sales agreement)
ina apartment mbili
moja ina chumba,sebule na choo cha ndani
pia nyingine ina vyumba viwil kimoja master,sitting,kitchen&public toilet
kuna flem tatu za biashara zote zina wapangaji
gharama za kwenda site kuoneshwa nyumbani tshs 30,000/=