Nyumba mpya inauzwa
ipo salasala kilimahewa
bei tsh milion 160 maongezi yapo kidogo
ukubwa wa eneo sqm 900
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
kitchen
public toilet
tiles
gypsum
maji yapo dawasa
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=