Nyumba inauzwa
ipo goba njia ya tegeta 'a'
bei tsh milion 80 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
vyumba 3 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo dawasco
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=