Nyumba inauzwa kwa niaba ya bank(mnada)
ipo changanyikeni , kata ya makongo center, mita 90 toka lami
bei tsh milioni 170 mazungumzo yapo, mteja njoo na ofa yako tunaipokea tupo nje ya muda wahi sasa ujipatie nyumba
ukubwa wa eneo sqm 1000
umiliki;mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 50,000/=