Nyumba inauzwa
ipo bunju
bei tsh milioni 160 maongezi yapo, mteja njoo na ofa yako
ukubwa wa eneo sqm 1000
umiliki: hati miliki ya wizara
vyumba 3 vya kulala
vyumba viwili master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
maji yapo ya dawasa
umeme upo
fenced and gate
pia ina servant quarter ya vyumba viwili vya kulala,choo,jiko,public toilet
pia ina mabanda ya kufugia kuku
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba