Nyumba inauzwa
ipo bunju a
bei tsh milioni 60 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 575
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
vyumba viwili master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
maji yapo ya dawasa
umeme upo
fenced and gate
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=