Nyumba za kupangisha (apartment) zinauzwa zote mbili ndani ya eneo moja
mahari: mbezi kibanda cha mkaa (dar es salam)
umbali: dakika kumi (10) kutoka morogoro road kwa miguu
bei tsh milion 200 maongezi yapo
kila moja ina vyumba viwil kimoja master,sitting, kitchen&public toilet
umiliki: hati miliki (title deed)
ukubwa wa eneo: sqm 2987
kila apartment moja ina pangisha laki tatu (300k) kwa mwezi na zote zina wapangaji
nyumba kila mpangaji ana jitegemea maji na umeme wake
gharama za kwenda site kuoneshwa nyumba ni tsh 30,000/=