Nyumba inatizama barabara kuu inauzwa na bank na mwenyewe ameridhia. iko kinondoni mwanamboka.
loc : kinondoni mwanamboka
area : 500
umiliki :leseni ya makazi
_________________________________________
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
email
insta
fb joshua
__________________________________________________________________
hii sio ya kuikosa, ... ! karibu ukague utupe offa yako... .
.
.
sifa:-
.
-frame za biashara
-yote imepangishwa na mtu mmoja anafanya biadhara ya vipuri vya magari
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 20
____________________________________________
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana nasi haraka