Dalal_wa_nyumba_za_kununua_dar's profile picture
dalal_wa_nyumba_za_kununua_dar
•
dalal_wa_nyumba_za_kununua_dar
#zimeshuka_bei_bei_bei
#apartments_zinauzwa_mbezi_kibanda_cha_mkaa/#mbezi_kwa_msuguri
apartments tatu zina sifa zifuatazo kila moja
#vyumba viwili vya kulala,sebule kubwa, kimoja wapo master bedroom, jiko lenye makabati na choo cha familia na umeme na maji vinajitegemea
na kodi ni tzs 300,000/= kwa mwezi
ukubwa wa eneo ni sqmt 1500
bei ni milioni 170 #maongezi_yapo_kidogo
apartments zote zina wapangaji ndugu mteja huduma zote za kijamii zipo kabisa
#apartments zina hati miliki kutoka wizarani [#title deed ipo]
na zipo umbali wa kilometa 1 kutoka morogoro road kupitia mbezi kibanda cha mkaaa ila kupitia mbezi kwa msuguri ni kilometa 1.6 kutoka morogoro road