Apartments inauzwa
LOCATION: Tabata kinyezi mwisho
Bei Tsh milion 550 maongezi yapo
Jumla kuna apartments 8
vyumba 2 vya kulala,chumba kimoja master, sebule, jiko,public toilet zipo 5
2. Kuna chumba, sebule choo na jiko zipo 3
kila apartment ina jitegemea kwa umeme na maji, yaani kila apartment ina luku yake ya umeme na mita yake ya maji
Ukubwa wa kiwanja SQM 1500
Umiliki: Hati miliki safi toka wizara ya ardhi
KWA KUPANGISHA BEI ZAKE NI;
Vyumba 2 vya kulala, chumba kimoja master, jiko, sitting room, public toilet KODI NI 300,000/= kwa mwezi
chumba, sebule, choo na jiko
KODI NI 200,000/= kwa mwezi
nyumba zipo mahali pazuri ulinzi wa kutosha
Gharama ya Kupelekwa site kuonyeshwa Nyumba tsh elfu 50,000/=