Apartment nzuri sana inapangishwa
mahali: bunju beach moga mita kutoka lami
ina vyumba viwili chumba kimoja master seble dining jiko na public toilets
kodi: tsh 400k kwa mwezi
inajitegemea umeme na maji mita yake
service charge 20k
bila kusahau malipo ya mwezi mmoja ya dalali
kwa mawasiliano zaidi
call/ what’s078XXXXXXX