Apartment nzuri sana ya kibachela (studio) inapangishwa bei 250k
apartment hii ina sifa zifuatazo
#chumba master bedroom kikubwa
#public toilet
#heater ya maji moto
#air=condition
#hakuna jiko
#hakuna sebule
#hii ni master bedroom kikubwa tuu
#parking
#garden nzuri
#luku inajitegemea yenyewe
#wanatakiwa mabachela tuu
bei ni 250,000/= x 6
apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 5 tuu kwa miguu
njia ni lami tupu hadi kwenye nyumba
kupelekwa kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20tuu