.appartiment inapangishwa ni master bedroom, sebule na jiko ;400k full ac
location: goba njia nne- nyumba ipo kama dakika tano kutembea
maelezo ya nyumba:
master bedroom nzuri sana
sebule kubwa, ya kisasa na nadhifu
jiko la kisasa lenye makabati
parking kubwa na salama
umeme unajitegemea
ipo barabara karibu na lami
kodi: tsh 400,000 kwa mwezi
malipo kwa miezi 4
security deposit:200k (inalipwa mara moja tu.)
gharama nyingine: