tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Nyumba na Vyumba Kwa Kupangisha
  4. Self Content kwa kukodisha
  5. Nyumba na Vyumba Kwa Kupangisha
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 4 yaliyopita
2 maoni

1bdrm Apartment in Kinondoni for rent

+1
Ghorofa
1 chumba cha kulala
1 bafu
Bunju B, Kihonzile street
Anwani ya Mali
16sqm
Ukubwa wa sifa
Ghorofa
Aina ya mali
Ndio
Huru ya Kujitegemea
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
1
Vyumba vya kulala
1
Bafu
1
Vyoo
Miezi 6
Kipindi cha Chini cha Kukodisha
Wi-Fi
Wi-Fi
NYUMBA YA KUPANGISHA – BUNJU B Unatafuta nyumba nzuri, salama na yenye mazingira mazuri? Tunayo nyumba ya kupangisha yenye: Chumba 1 cha kulala Sebule kubwa Bafu na choo cha ndani (Self-contained) Nyumba ipo kwenye uzio (Gated house) Mazingira salama na tulivu Mahali ilipo: Bunju B, mita 100 kutoka Barabara ya Bagamoyo Kodi: Tsh 150,000 kwa mwezi tu Huduma zinazojumuishwa: Maji — yanagharamiwa na mwenye nyumba Umeme — mchango wa Tsh 10,000 tu kwa mwezi Ulinzi — unagharamiwa na mwenye nyumba Usafi wa mazingira (sanitation) — unagharamiwa na mwenye nyumba Mawasiliano: Pata nyumba yenye usalama, huduma nzuri na gharama nafuu. Wahi sasa!
1bdrm Apartment in Kinondoni for rent1bdrm Apartment in Kinondoni for rent1bdrm Apartment in Kinondoni for rent1bdrm Apartment in Kinondoni for rent
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif