1. Usafi wa Nyumba na Mazingira
2. Utunzaji wa Nguo na Usafi Binafsi
3. Jiko na Maandalizi ya Chakula
4. Kufanya Manunuzi Madogo
5. Uangalizi wa Mtoto
Ujuzi Unaohitajika
1. Umri kati ya Miaka 18 - 21
2. Uwezo wa kufanya majukumu yote kwa bidii
3. Msichana
4. Uwezo wa kutumia vifaa vya umeme
Mahitaji ya chini ya Kufuzu
1. Uaminifu na Ukweli
2. Usafi na Nidhamu
3. Upendo na Uvumilivu kwa Mtoto/Mjamzito
4. Kujituma na Utendaji Kazi
5. Afya Njema na Utulivu wa Akili
Uzoefu wa chini
Mwaka moja
Familia yetu inatafuta msaidizi wa nyumbani mwenye moyo wa kujituma, anayependa watoto, na mwenye usafi binafsi. Tunahitaji mtu anayeaminika atakayesaidia shughuli za kila siku za nyumbani jijini Dar es Salaam.