tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Vifaa vya Kielektroniki vya Nyumbani
  4. Mashine za kuosha
  5. Hisense Mashine za kuosha
Dar es Salaam, Kinondoni, 31/05
2 maoni

Mashine Ya Kufulia 12kg

+1
Mashine za Kuosha
Aina
Chapa Mpya
Hali
Hisense
Chapa
12kg
Uwezo wa Washer
Mzigo wa Juu
Aina ya Mzigo
Nyeupe
Rangi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Dar es salaam , ilala , Kariakoo , Masasi KKKT
Piga simu kwa huduma ya haraka . Instagram - Msumari_shoppers
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 07:30-20:00
Hisense twin tub manual washing machine. BEI ZAKE HAPA CHINI 6kg. Tsh 450,000/= 7kg. Tsh 530,000/= 8kg. Tsh 590,000/= 10kg. Tsh 680,000/= 12kg. Tsh 790,000/= 14kg. Tsh 850,000/= 16kg. Tsh 900,000/= SIFA ZAKE HAPA CHINI Zinatumia umeme kidogo sana na maji kidogo sana wakati ikiwa inafanya kazi. Zinauwezo wa kuvumilia mazingira yote magumu, Pia ni rahisi kutumia kwa mtu mtu yoyote Lakini pia znafua, zinasuuza na kukamuua kiasi cha kuelekea kukauka kabisa ambapo utaiyanika kwa muda mfupi tu inakuwa imekauka tayari. Free home delivery. Waranty mwaka mmoja. Malipo ni baada ya kupokea mzigo wako. Kwa mahitaji zaidi tembelea duka letu lililopo kariakoo
Mashine Ya Kufulia 12kgMashine Ya Kufulia 12kgMashine Ya Kufulia 12kg
TSh 790,000
Inaweza kujadiliwa
4 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif