tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Fanicha
  4. Kabati na Makabati
  5. Fanicha
Dar es Salaam, Kinondoni, 28/05
5 maoni

Kitchen Cabinet Ya Mbao Ngumu (Mninga)

+1
Wood-Mode
Chapa
Baraza la Mawaziri na Kabati
Aina
Jikoni
Chumba
Chapa Mpya
Hali
Yenye rangi nyingi
Rangi
Ndani ya mlango
Mahali pa Matumizi
Mawaziri
Aina ya Kabati au Kabati la Vyombo
Mbao, Nyingine
Vifaa ama nyenzo
Na Milango, Na Wachoraji, Inaweza kufungwa
Vipengele vya Kabati au Kabati la Vyombo
Yes
Udhamini
365days
Kipindi cha Udhamini
Uwasilishaji
Nchini kote
14-21 mchana
TSh 200,000 - 950,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Mabibo mwisho
Tupigie
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-20:00
Hii hapa kabati ya Jikoni nzuri na Bora sana na mbao ni ngumu kama kawaida yetu huu ni Mninga Bei yake kamili ni mpaka tuje site kwako tupate vipimo halafu tujue kuna mita ngapi za ujazo (Cubic meters/M3) ndio tupate bei kamili. Kwa mita moja ya ujazo kwa mbao ya mninga bei yake ni 1,500,000/Cubic Meter, bila mable. Mable sheet na ufundi ni 250,000 tu kwa 1 meter. Mable tunazotumia ni zile premium za Galaxy nyeusi, hazipasuki hata zikipata Joto. Zinaitwa Galaxy Mables. Mikoa yote Tanzania bara na visiwani na Nchi za jirani tunakuja kufanya kazi kwa uaminifu mkubwa sana na utaratibu mzuri sana Tupo Mabibo mwisho Dar es salaam Karibu sana tukuhudumie Aku never disapoint AKU_FURNITURE ZAIDI YA FURNITURES
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif