tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Fanicha
  4. Kabati na Makabati
  5. Fanicha
Dar es Salaam, Kinondoni, 28/05
49 maoni

Hard Wood Kitchen Cabinet (Mninga)

+1
2
Wood-Mode
Chapa
Baraza la Mawaziri na Kabati
Aina
Jikoni
Chumba
Chapa Mpya
Hali
Yenye rangi nyingi
Rangi
Ndani ya mlango
Mahali pa Matumizi
Kabati
Aina ya Kabati au Kabati la Vyombo
Mbao, Nyingine
Vifaa ama nyenzo
Na Milango, Inaweza kufungwa, Nyingine
Vipengele vya Kabati au Kabati la Vyombo
Yes
Udhamini
365days
Kipindi cha Udhamini
Uwasilishaji
Nchini kote
14-21 mchana
TSh 200,000 - 950,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Mabibo mwisho
Tupigie
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-20:00
Hili ni kabati la Jikoni, limetengenezwa kwa mbao ngumu ya Mninga Super namba moja kwa Ubora. Bei zetu ni rafiki sana kwani kwa Mita moja ya ujazo (Cubic Meter, M3/CBM) ni 1,500,000 tu. Tukisha pima jiko lako tukapata lina ukubwa wa Mita ngapi za ujazo ndipo tutazidisha kwa hio pesa ya mita moja ya ujazo tupate hesabu kamili na kazi itaanza. Malipo ya Advance ni 70% ya pesa ya kazi yote. Mable ( graphite stone) na ufundi ni 250,000 tu kwa mita kazi inakamilika ndani ya siku 14 mpaka 21 kulingana na ukubwa wa jiko lako. Sink la mabakuli mawili ni 250,000 tu ukichukua kwetu. Tunaipenda nyumba yako zaidi ya pesa unayotupatia hivyo tuamini tuipendezeshe nyumba yako. Tunatumia mbao na materia tofauti kulingana na uhitaji wako mteja Tupo mabibo mwisho dar es salaam tunafanya kazi mikoa yote tanzania bara na visiwani pamoja na nchi za jirani .
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif