tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mbegu na Mbolea
Dar es Salaam, Kinondoni, 01/06
36 maoni

Better Health Fish Oil

+1
1
Nyingine
Aina
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
mikocheni
09:00-18:00
Mafuta ya samaki kwa maana ya vitamin ambazo zinapatikana katika mafuta haya (Vitamini A, D na E) husaidia kurekebisha matatizo mengi ya kiafya ambayo ni pamoja na:- Kwa matumizi ya vitamin A, husaidia katika kuimarisha uwezo wa macho kuona ikiwa ni pamoja na nyakati za giza au usiku. Hii husaidia katika matibabu ya ugonjwa wa macho ambao huitwa ‘Ukavu macho’. Husaidia katika kuimarisha kinga ya mwili ambapo huujengea uwezo wa kupambana na magonjwa na homa ambazo huweza kumpata mtoto au mtu yeyote. Vitamini D katika mafuta ya samaki husaidia katika kuimarisha mifupa ikiwa ni kwa kuwezesha ukusanyaji na usafirishaji wa madini ya calcium mwilini na kuijenga mifupa iliyo imara. Hii husaidia katika kuepukana na tatizo la miguu kuwa na matege na mifupa ambayo si imara.
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif