Hizi zina size kuanzia 0.75mm, 1mm na 1.5mm hapa Kuna bei ya 1.5mm kwa square meter,Hutumika kutandika mabwawa ya maji (dams,ponds),huzuia maji yasipotee aridhini kwa kuhifadhi maji ya umwagiliaji mfano kwenye samaki kama fish ponds, rain water harvesting. Ni karatasi za plastic ngumu na nzito za kuzuia maji kupotea.