tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
17 maoni

Tunauza Tray Za Kuoteshea Hydroponics Fodder

+1
12
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
TUNAUZA TRAY ZA KUOTESHEA HYDROPONICS FODDERS ✓Ni nafuu sana kulinganisha na garama za CHAKULA cha madukani au viwandani. ✓Hupunguza magonjwa ya mafua ✓kina protein na Energy/nishati nyingi zaidi mara 3 ya inayopatikana kwenye vyakula vya kawaida vya Mifugo kama kuku. ✓mifugo hukua haraka sana kutokana na wingi wa protein ambayo hufanya Kazi ya kujenga mwili na kukua. ✓CHAKULA hiki Ni laini sana na kitam kwa kuku na Mifugo yote (palatable). ✓mmeng'enyo wa chakula hiki huongezeka kutoka 30% kwa CHAKULA cha kawaida hadi 95% kinyesi na usumbufu wa usafisaji banda. ✓kinyesi hupungua na kuwa kati ya 5%-10% tu kwani CHAKULA kingi humeng'enywa na kutumiwa na mwili wa Mifugo. ✓mazao kama mayai au maziwa huongezeka kwa 40% kulinganisha na chakula cha kawaida. ✓kiini cha yai la kuku anayelishwa hydroponic fodder huwa cha njano sana hata kama Ni kuku wa kisasa. ✓Hupunguza garama za ufugaji kwenye manunuzi ya chakula kwa 50-75% hivyo kuongeza
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif