tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
5 maoni

Tunauza Taa Za Ulinzi Zinazotumia Solar

+1
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Tumeleta taa za solar kwaajili ya ulinzi mabandani pia unaweza timia hata majumbani. okoa gharama kwa kufunga taa hizi za solar. taa hizi zinamfumo wa kujiwasha zenyewe kila baada ya masaa kadhaa kama utakavyo iseti pia zinakuja na remote control yake ya kuseti zina sensor imara yenye uwezo wa kuhisi giza kisha ujiwasha. taa hizi haziathiriki na maji kwani zina water proof. zina mwanga mkali sana kuliko taa ambazo umezoea hudumu kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka 7. bei yake ya ofa ni tsh60,000/= ●call065XXXXXXX
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif