tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
6 maoni

Tunauza Taa Za Kulelea Vifaranga

+1
3
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Tunauza taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga (infrared). ✓taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress. ✓taa moja hutosha kwa vifaranga 100. ✓hutoa joto la kutosha. ✓hudumu kwa muda mrefu bila kuungua. ✓hutumia umeme kidogo. ✓huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama kwa kiwango kikubwa. ✓huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide. ✓tuna watts 150/175 na 200. ✓zinakuja na warranty ya miezi sita. ✓zinakuja na holder yake moja bureee. dsm -tegeta agiza- tukuletee popote- tukukabidhi.
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif