tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Maganga ya shamba
  5. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
7 maoni

Tunauza Taa Za Kulelea Vifaranga.

+1
4
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Tunauza taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga. ✓taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress ✓taa moja hutosha kwa vifaranga 100. ✓hutoa joto la kutosha. ✓hudumu kwa muda mrefu bila kuungua. ✓hutumia umeme kidogo ✓huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama ✓huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide. ✓tuna watts 150 na 200 ✓zinakuja na warranty ya miezi sita. ✓zinakuja na holder yake moja bureee. dsm -tegeta agiza- tukuletee- tukukabidhi. facebook page-(mifugo plus group) *tuna mawakala mikoani kote* #taazajoto#incubator#hygrometer#mzaniwadigital#vifaavyaincubator#heater#mzani#deabeakingmachine#cages#pelletmachine#nipplezakukunanguruwe#vifaranga#kroiler#
Tunauza Taa Za Kulelea Vifaranga.
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif